Search Results for:
Hatukuwa na chochote cha kutoa ila uwatu wetu
Katika utangulizi wa kitabu chake “Maskini ni Kanisa”, baada ya kutaja utoto wake katika maandishi ” Kijana mdogo katika mduara (…) Read more
Kijana mdogo katika mduara isiyo ya kawaida ya vurugu
Ninaporudi utotoni mwangu, ninachokumbuka ni wodi ndefu ya hospitali, na mama yangu akimfokea mtawa aliyekuwa aki tuangalia. Kwa sababu, nikiwa (…) Read more
Mapambano yetu yamezaliwa kutokana na kukataa na changamoto.
Mnamo Julai 1956, tulipojiunga na familia za kambi la Noisy le Grand, tulijiapiza kwamba wakati wa ukosefu wa haki ulikuwa (…) Read more
Kuwa mtumishi
Niliulizwa nilipowekwa kuwa padre, “Ni mstari gani katika Injili unaongoza maisha yako?” Nilijibu mara moja, “Nenda upande wa pili na (…) Read more
Matumaini, fursa ya kipekee kwa wale wanaoishi katika umaskini
Matumaini ya Kikristo hayamaanishi kwamba mwanadamu hataanguka kamwe, kwamba hakatai kuendelea, au hata kwamba hatukani anapoumizwa na kashfa, bali kwa (…) Read more
Wakati huu wa Krismasi
Nilipokuwa mtoto, kutoka miaka 4 hadi 13, kila mchana baada ya shule, nilienda kwa Mchungaji Mwema ili kupata supu, mkate, (…) Read more
Ishara yoyote ya upendo hujenga matumaini ya maskini
Watoto wako karibu na Georgette,
wanamkumbatia ,
wakiwa kama watu wanao ishi bila kujulikana.
Watoto kumi na moja.
Jacques akasema: “Nahisi baridi”, na Claudine (…) Read more
Kubadilisha historia katika undugu.
« Ubinadamu unaonekana kuzama katika historia kama mtu kipofu, kiziwi na bubu anaye tafuta njia yake. Hayana uwezo wa kuuliza (…) Read more
Mwanzoni mwa Oktoba 17: kuashiria maendeleo ya mawazo juu ya haki za binadamu
(…) Taabu, umaskini mkubwa, siku hizi, umekuwa ukipiga kelele sana mpaka ilikuwa haiwezekani, ilikuwa ni lazima kwamba, kwa wakati fulani (…) Read more
Huu ni wakati wa usawa wa maarifa
“Wajibu wa kimaadili na kisiasa na msimamo wa kisayansi unalazimisha Chuo Kikuu kugeukia Ulimwengu wa Nne, sio kufundisha, kwanza, bali (…) Read more